Kina dada wa Tanzania na Kenya kukabiliana fainali Cecafa


Leo ndiyo siku ya fainali ya mataifa bingwa Afrika mashariki na kati wanawake na tayari uongozi wa CECAFA umethibitisha kuwa umekamilisha taratibu zote za mechi.
Mwandishi wetu Issaac Mumena ana maelezo zaidi.
Previous
Next Post »