Ngoma amfunga mdomo Julio, Yanga ikiiua Mwadui 2 - 0


Mchezo umemalizika kwenye Uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga, wageni Yanga wamepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mwadui FC, yote yamefungwa na Donald Ngoma.
Previous
Next Post »