Wasanii na viongozi wa WCB waalikwa nyumbani kwa rais mtaafu Jakaya Kikwete




Jumatano ya Sept 14, 2016 Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete aliwaalika wasanii na viongozi kutoka kwenye lebel ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz nyumbani kwake kula chakula cha mchana na kuzungumza kuhusu kazi za muziki na maisha.


Rais mstaafu JK, mwimbaji Harmonize na mama Salma Kikwete

Rich Mavoko na Rais mstaafu JK

Diamond Platnumz na JK

Rayvanny na JK



Meneja Sallam SK kwenye picha ya pamoja
Previous
Next Post »